Gurudumu la Uchumi
RFI Kiswahili
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Économie et Entreprise
Écoutez le dernier épisode:
Msikilizaji katika miaka ya hivi karibuni, wito umeendelea kutolewa na mataifa ya Afrika kuhusu kuwepo usawa na haki katika mfumo wa kifedha duniani, ambao Kihistoria, nchi za Kiafrika zimekuwa katika hali mbaya linapokuja suala la kupata ufadhili, rasilimali, na makubaliano yenye usawa ya kibiashara.
Kuzungumzia hili, nimemualika kwa njia ya simu kutoka Tanzania, Walter Nguma, mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara.
Épisodes précédents
-
225 - Afrika na madai ya mabadiliko katika mifumo ya kifedha ya kimataifa Wed, 01 May 2024
-
224 - Wataalamu: Uchumi Samawati utumiwe vizuri kwa maendeleo endelevu Thu, 11 Apr 2024
-
223 - Umuhimu wa ushirikiano kati ya sekta binafsi na uma Mon, 04 Mar 2024
-
222 - Ukulima wa matunda Kenya na changamoto zake Mon, 04 Mar 2024
-
221 - Changamoto za uhamiaji na fursa zake kwa uchumi Mon, 04 Mar 2024
-
220 - Kuberoshwa kwa huduma ya intaneti Kenya na ilivyochochea ubunifu Mon, 04 Mar 2024
-
219 - Mzozo kati ya Kenya na Tanzania kuhusu mashirika yake ya ndege Mon, 04 Mar 2024
-
218 - Mustakabali wa Jumuiya mwaka 2024 Mon, 04 Mar 2024
-
217 - Matarajio ya Wafanyabiashara kwa mwaka 2024 Mon, 04 Mar 2024
-
216 - Matarajio ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 2024 Thu, 11 Jan 2024
-
215 - Mkutano wa China na Afrika pamoja na ziara za viongozi nchi za Magharibi barani Afrika Thu, 02 Nov 2023
-
214 - Kwanini Bostwana imefanikiwa kwenye sekta ya madini ? Wed, 25 Oct 2023
-
213 - Fursa za uwekezaji nchini Bostwana kwa nchi za Afrika Mashariki Fri, 20 Oct 2023
-
212 - IMF, benki ya dunia zaonya kuhusu kudorora kwa uchumi wa mataifa ya Afrika Wed, 11 Oct 2023
-
211 - Viongozi wa dunia wajadili malengo endelevu ya umoja wa Mataifa Thu, 05 Oct 2023
-
210 - Tatizo la uhaba wa dola ya Marekani kwenye nchi za Afrika Mashariki Fri, 22 Sep 2023
-
209 - Biashara ya madini yaimarika nchini DRC Thu, 07 Sep 2023
-
208 - Nguo za mitumba zapigwa marufuku nchini Uganda Fri, 01 Sep 2023
-
207 - MABADILIKO YA TABIA NCHI KWA UCHUMI Thu, 10 Aug 2023
-
206 - Je Afrika inawezaje kutumia raslimali watu kwa maendeleo ya uchumi? Wed, 02 Aug 2023
-
205 - DRC: Kushuka kwa thamani ya fedha na changamoto la wakimbizi wa ndani Wed, 26 Jul 2023
-
204 - Ujuzi kwa vijana na teknolojia Wed, 12 Jul 2023
-
203 - Faida ya mfumo wa malipo ya pamoja barani Afrika Wed, 31 May 2023
-
202 - Changamoto za kilimo na suluhu endelevu kwa bara Afrika Tue, 30 May 2023