Gurudumu la Uchumi

Gurudumu la Uchumi

RFI Kiswahili

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .

Écoutez le dernier épisode:

Msikilizaji katika miaka ya hivi karibuni, wito umeendelea kutolewa na mataifa ya Afrika kuhusu kuwepo usawa na haki katika mfumo wa kifedha duniani, ambao Kihistoria, nchi za Kiafrika zimekuwa katika hali mbaya linapokuja suala la kupata ufadhili, rasilimali, na makubaliano yenye usawa ya kibiashara.

Kuzungumzia hili, nimemualika kwa njia ya simu kutoka Tanzania, Walter Nguma, mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara.

Épisodes précédents

  • 225 - Afrika na madai ya mabadiliko katika mifumo ya kifedha ya kimataifa 
    Wed, 01 May 2024
  • 224 - Wataalamu: Uchumi Samawati utumiwe vizuri kwa maendeleo endelevu 
    Thu, 11 Apr 2024
  • 223 - Umuhimu wa ushirikiano kati ya sekta binafsi na uma 
    Mon, 04 Mar 2024
  • 222 - Ukulima wa matunda Kenya na changamoto zake 
    Mon, 04 Mar 2024
  • 221 - Changamoto za uhamiaji na fursa zake kwa uchumi 
    Mon, 04 Mar 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts économie et entreprise français

Plus de podcasts économie et entreprise internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast