Jua Haki Zako
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Gouvernement et ONG
Écoutez le dernier épisode:
Makala haya tunaangazia ripoti ya mashirika ya kiraia nchini kenya kuhusu vifo vya kiholela vinavyodaiwa kutekelezwa na polisi.
Ripoti hiyo inakaria kwa mwaka uliopita wa 2023, polisi waliwaua zaidi ya raia 118, masharika hayo yakisema licha ya mauwaji hayo ya raia hakuna hatua ambazo zimechukuliwa na serikali waathibu wahusika.
Hata hivyo masharika hayo yanasema idadi hiyo ni ndogo ukilinganisha na mwaka 2022 ambapo zaidi ya watu 130, wanadaiwa kuuawa na polisi nchini Kenya.
Mauwaji haya ya raia kwa mjibu wa masharika haya yanayojumuisha, shirika la kimataifa la haki za binadamu, Amnesty International , tume ya haki za binadamu nchini Kenya , na masahrika mengine, ni kwamba yalitekelezwa wakati wa operesheni ya uhalifu.
Kufahamu mengi zaidi skiza makala haya.
Épisodes précédents
-
267 - Kenya : Polisi watuhumiwa kuwaua raia kiholela zaidi ya raia 118 wakiuawa mwaka 2023 Thu, 02 May 2024
-
266 - Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu Thu, 25 Apr 2024
-
265 - Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua Wed, 17 Apr 2024
-
264 - Madaktari nchini Kenya wagoma kuishinikiza serikali kuzingatia haki zao Tue, 16 Apr 2024
-
263 - DRC : Jamii ya mbilikimo yalilia serikali kuwapa nafasi kuhudumu serikalini Wed, 10 Apr 2024
-
262 - Haki za raia wa mataifa ya Afrika wanaofanya kazi katika mataifa ya ughaibuni. Thu, 04 Apr 2024
-
261 - Kenya : Dhuluma za kijinsia na mrundiko wa kesi mahakamani Tue, 19 Mar 2024
-
260 - DRC: Waasi wa CODECO wadaiwa kutekeleza mauwaji ya kikabila Fri, 15 Mar 2024
-
259 - Kenya: siku ya wanawake duniani nini Kipya? Fri, 08 Mar 2024
-
258 - Kenya : Wasanii walilia haki yao Sat, 02 Mar 2024
-
257 - Haki ya kutali Africa bila vikwazo Wed, 21 Feb 2024
-
256 - Valentine : Haki ya wanaume na wanawake Sat, 17 Feb 2024
-
255 - Kenya : Viongozi wa dini wapinga ushoga Fri, 09 Feb 2024
-
254 - DRC : Je haki za raia zilikiukwa kipindi cha uchaguzi? Sat, 03 Feb 2024
-
253 - Haki ya mtoto kupata elimu ( Fizi) Fri, 26 Jan 2024
-
252 - Human watch yatahumu jamii ya kimataifa kwa kukosa kusadia Sudan Sun, 21 Jan 2024
-
251 - Hali ya haki za binadamu nchini Kenya na Tanzania Tue, 09 Jan 2024
-
250 - Mashirika ya misaada ya kibinadamu yakumbwa na uhaba wa fedha Tue, 19 Dec 2023
-
249 - Ipo siku watu wanaoishi na walemavu watapata nafasi sawa katika jamii Mon, 11 Dec 2023
-
248 - Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kushinikiza serikali kutekeleza maamuzi ya mahakama Mon, 04 Dec 2023
-
247 - Siku 16 za mapambano dhidi ya ukatili wa wanawake Fri, 01 Dec 2023
-
246 - Manufaa ya mitandao, mwandishi Paul Braine anasimulia Tue, 28 Nov 2023
-
245 - Haki ya watoto kipindi hiki cha kidigiti Tue, 07 Nov 2023
-
244 - Kenya : Serikali yaendesha bomoabomoa kwenye ardhi inayodai kuwa yake Fri, 27 Oct 2023