
Afrika Ya Mashariki
RFI Kiswahili
Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Actualités et Politique
Écoutez le dernier épisode:
Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwama na kuangazia kwa namna gani wakazi wanaozunguka migodi ya madini kupitia uwajibikaji kwa jamii.
Mchango wa Sekta ya Madini katika Pato la Taifa umekua, na kukua huku ni kutokana na ongezeko la asilimia 7.3 kwa mwaka 2021 hadi kufikia asilimia 9.
Kwa kuzingatia umuhimu wa sekta hii serikali ya Tanzania imechukua hatua muhimu ya kuhakikisha kwamba wawekezaji wakubwa na wadogo kwenye Sekta ya Madini wanaendesha shughuli zao kwa tija kwa kuwezesha mazingira wezeshi ya uwekezaji na upatikanaji teknolojia unaimarika, hii ni pamoja na kuendelea kuboresha miundombinu mbalimbali ambayo serikali imeamua kuimarisha kwa lengo la kuvutia uwekezaji na kuwezesha uwekezaji huo kuleta faida kwa kila mwekezaji.
Épisodes précédents
-
149 - Namna wakazi wanaoishi karibu na migodi wanaweza kufaidika na shughuli hizo Sat, 01 Feb 2025
-
148 - Tanzania: Changamoto wanazokabiliwa nazo watu wenye Albinism mjini Mwanza Wed, 22 Jan 2025
-
147 - Safari ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar Sat, 18 Jan 2025
-
146 - Tanzania: Kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa Sat, 16 Nov 2024
-
145 - Uwekezaji katika sekta ya kilimo mkoani Arusha Kaskazini mwa Tanzania Fri, 08 Nov 2024
-
144 - Tanzania: Kumbukizi ya miaka 119 tangu kuibuka kwa vita vya majimaji Thu, 24 Oct 2024
-
143 - Wiki ya vijana ilivyoaadhimishwa mjini Mwanza nchini Tanzania Thu, 17 Oct 2024
-
142 - Tanzania: Mradi wa Jenga Kesho Bora ulivyoanza kutoa mazao kwa wafugaji wa samaki Fri, 04 Oct 2024
-
141 - Maadhimisho ya kimataifa ya siku ya lugha ya alama Fri, 27 Sep 2024
-
140 - EAC: Namna mafunzo ya ujasiriamali yanaweza kuwainua vijana Wed, 18 Sep 2024
-
139 - Maonesho ya awamu ya19 ya biashara katika nchi za Afrika Mashariki Wed, 11 Sep 2024
-
138 - EAC: Fursa za uchumi wa samawati katika Ziwa Victoria Fri, 06 Sep 2024
-
137 - Maendeleo ya shughuli za uvuvi kwenye maziwa Tanganyika na Victoria Wed, 28 Aug 2024
-
136 - Hofu kwa wavuvi wa biashara ya samaki Ziwa Victoria nchini Tanzania Wed, 28 Aug 2024
-
135 - Shughuli za uvuvi zarejelewa katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma Fri, 23 Aug 2024
-
134 - Namna siku ya vijana ilivyoadhimishwa katika nchi za Afrika Mashariki Wed, 14 Aug 2024
-
133 - Uchaguzi wa urais uliofanyika nchini Rwanda ambapo rais Kagame alitangazwa mshindi Sat, 20 Jul 2024
-
132 - Harakati za kuelekea uchaguzi mkuu wa urais nchini Rwanda Wed, 03 Jul 2024
-
131 - Changamoto za raia wa Afrika Mashariki kupata maji kwa ukaribu Fri, 28 Jun 2024
-
130 - Tanzania: Kufungwa kwa muda kwa uvuvi ndani ya Ziwa Victoria Sat, 22 Jun 2024
-
129 - Mvutano kati ya Somalia na Ethiopia kuhusiana na suala la Somaliland Sat, 08 Jun 2024
-
128 - Kumbukizi ya miaka 28 tangu kuzama kwa meli ya MV Bukoba Sat, 01 Jun 2024
-
127 - Tanzania: Jinsi raia wanaoishi na ulemavu wanapambana kujikimu kichumi Fri, 24 May 2024
-
126 - Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki Thu, 16 May 2024