Afrika Ya Mashariki

Afrika Ya Mashariki

RFI Kiswahili

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Écoutez le dernier épisode:

Karibu katika ya Afrika mashariki hii leo macho na masikio ya Makala haya yanatazama kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika tukienega katika Mkutano wa Kimataifa wa AI kuhusu Afrika 2025, unaofanyika Kigali nchini Rwanda Mwandalizi na  msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe soote hadi tamati 

Épisodes précédents

  • 155 - Kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika 
    Fri, 11 Apr 2025
  • 154 - Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ? 
    Sat, 05 Apr 2025
  • 153 - Tatizo la kifua kikuu (TB) katika mataifa ya Afrika Mashariki 
    Sat, 29 Mar 2025
  • 152 - Tanzania: Namna wakaazi wa vijijini wanafikiwa na huduma za maji 
    Sat, 15 Mar 2025
  • 151 - Athari za mgogoro wa DRC katika mataifa ya Afrika 
    Sat, 08 Mar 2025
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts actualités et politique français

Plus de podcasts actualités et politique internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast