Afrika Ya Mashariki
RFI Kiswahili
Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Actualités et Politique
Écoutez le dernier épisode:
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Masuala na Utalii, katika taarifa ya misitu na ufugaji nyuki inabainisha kuwa mkaa ni chanzo kikubwa cha nishati ya kaya katika maeneo ya mijini kwa kupikia na kupasha joto, kwa kuwa inachukuliwa kuwa ya bei nafuu na inapatikanakwaurahisi.
Inakadiriwa kuwa asilimia 85 ya watu wote wa Tanzania kutegemea nishati ya majani. Nishati ya kupikia ndiyo inayoongoza kwa matumizi ya biomasi katika kaya ikilinganishwa na sekta nyingine kama vile ujenzi na kilimo sekta ya msingi.
Épisodes précédents
-
123 - Tanzania:Juhudi za wabunifu katika kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira Thu, 18 Apr 2024
-
122 - Fursa za uchumi wa buluu zilizopo katika Ziwa Victoria Sat, 13 Apr 2024
-
121 - Magonjwa ya figo Afrika Mashariki Wed, 03 Apr 2024
-
120 - Sehemu ya pili: Mradi wa kilimo unaofadhiliwa na AFD mjini Arusha Sat, 30 Mar 2024
-
119 - Utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na shirika la maendeleo la Ufaransa (AFD) Wed, 20 Mar 2024
-
118 - Changamoto zinazotokana na migumo ya wahudumu wa sekta ya usafiri Afrika Sat, 16 Mar 2024
-
117 - Simulizi ya maisha ya aliyekuwa rais wa Tanzania, Hayati Hassan Mwinyi Sat, 09 Mar 2024
-
116 - Heshima aliyopewa hayati Julius Nyerere Wed, 21 Feb 2024
-
115 - Tanzania: Simulizi ya maisha ya waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa Thu, 15 Feb 2024
-
114 - Kufungwa kwa mpaka kati ya nchi za Rwanda na Burundi Fri, 09 Feb 2024
-
113 - Harakati mpya za vikosi vya SADC mashariki ya DRC Wed, 31 Jan 2024
-
112 - Muhula wa pili wa rais Felix Tshisekedi nchini DR Congo Fri, 26 Jan 2024
-
111 - Kufunguliwa kwa shule nchini Tanzania Wed, 17 Jan 2024
-
110 - Hatua Somalia kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki Fri, 01 Dec 2023
-
109 - Wanawake katika sanaa ya uchoraji nchini Tanzania Thu, 09 Nov 2023
-
108 - Uelewa wa wananchi wa Mwanza kuhusu mvua za El Nino Wed, 01 Nov 2023
-
107 - Nishati inachangia asilimia kubwa kwa ukuaji wa Uchumi wa mataifa Sat, 28 Oct 2023
-
106 - Biashara ya samaki na dagaa jijini Mwanza nchini Tanzania. Wed, 18 Oct 2023
-
105 - Tanzania: Jamii zinavyo shiriki katika utunzaji wa hifadhi ya Ruaha Wed, 11 Oct 2023
-
104 - Juhudi za kusambaza umeme nchini Tanzania Fri, 22 Sep 2023
-
103 - Nafasi ya muungano wa BRICS kwa mataifa ya Afrika Tue, 29 Aug 2023
-
102 - Vijana na ushiriki wa fursa ndani ya Afrika mashariki Wed, 16 Aug 2023
-
101 - Juhudi za muungano wa makabila kusaka amani DRC Thu, 10 Aug 2023
-
100 - Mgogoro wa Kenya na athari kwa uchumi Afrika Sat, 29 Jul 2023