Afrika Ya Mashariki

Afrika Ya Mashariki

RFI Kiswahili

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Écoutez le dernier épisode:

Makala ya Afrika Mashariki, ikiangazia juu ya ripoti ya Tume ya uchunguzi wa matukio ya wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa October 29, 2025 nchini Tanzania.

Épisodes précédents

  • 157 - Tanzania: Ripoti ya Tume ya uchunguzi kuhusu vurugu za uchaguzi mkuu wa Oktoba 
    Sat, 02 May 2026
  • 156 - Kumbukizi ya miaka 32 ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 
    Sat, 11 Apr 2026
  • 155 - Kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika 
    Fri, 11 Apr 2025
  • 154 - Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ? 
    Sat, 05 Apr 2025
  • 153 - Tatizo la kifua kikuu (TB) katika mataifa ya Afrika Mashariki 
    Sat, 29 Mar 2025
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts actualités et politique français

Plus de podcasts actualités et politique internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast