Afrika Ya Mashariki
RFI Kiswahili
Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Actualités et Politique
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Épisodes précédents
-
157 - Tanzania: Ripoti ya Tume ya uchunguzi kuhusu vurugu za uchaguzi mkuu wa Oktoba Sat, 02 May 2026
-
156 - Kumbukizi ya miaka 32 ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 Sat, 11 Apr 2026
-
155 - Kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika Fri, 11 Apr 2025
-
154 - Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ? Sat, 05 Apr 2025
-
153 - Tatizo la kifua kikuu (TB) katika mataifa ya Afrika Mashariki Sat, 29 Mar 2025
-
152 - Tanzania: Namna wakaazi wa vijijini wanafikiwa na huduma za maji Sat, 15 Mar 2025
-
151 - Athari za mgogoro wa DRC katika mataifa ya Afrika Sat, 08 Mar 2025
-
150 - Umuhimu wa kutunza lugha mama katika jamii za Afrika Sat, 01 Mar 2025
-
149 - Namna wakazi wanaoishi karibu na migodi wanaweza kufaidika na shughuli hizo Sat, 01 Feb 2025
-
148 - Tanzania: Changamoto wanazokabiliwa nazo watu wenye Albinism mjini Mwanza Wed, 22 Jan 2025
-
147 - Safari ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar Sat, 18 Jan 2025
-
146 - Tanzania: Kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa Sat, 16 Nov 2024
-
145 - Uwekezaji katika sekta ya kilimo mkoani Arusha Kaskazini mwa Tanzania Fri, 08 Nov 2024
-
144 - Tanzania: Kumbukizi ya miaka 119 tangu kuibuka kwa vita vya majimaji Thu, 24 Oct 2024
-
143 - Wiki ya vijana ilivyoaadhimishwa mjini Mwanza nchini Tanzania Thu, 17 Oct 2024
-
142 - Tanzania: Mradi wa Jenga Kesho Bora ulivyoanza kutoa mazao kwa wafugaji wa samaki Fri, 04 Oct 2024
-
141 - Maadhimisho ya kimataifa ya siku ya lugha ya alama Fri, 27 Sep 2024
-
140 - EAC: Namna mafunzo ya ujasiriamali yanaweza kuwainua vijana Wed, 18 Sep 2024
-
139 - Maonesho ya awamu ya19 ya biashara katika nchi za Afrika Mashariki Wed, 11 Sep 2024
-
138 - EAC: Fursa za uchumi wa samawati katika Ziwa Victoria Fri, 06 Sep 2024
-
137 - Maendeleo ya shughuli za uvuvi kwenye maziwa Tanganyika na Victoria Wed, 28 Aug 2024
-
136 - Hofu kwa wavuvi wa biashara ya samaki Ziwa Victoria nchini Tanzania Wed, 28 Aug 2024
-
135 - Shughuli za uvuvi zarejelewa katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma Fri, 23 Aug 2024
-
134 - Namna siku ya vijana ilivyoadhimishwa katika nchi za Afrika Mashariki Wed, 14 Aug 2024
Afficher plus d'épisodes
5