Afrika Ya Mashariki

Afrika Ya Mashariki

RFI Kiswahili

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Écoutez le dernier épisode:

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Masuala na Utalii, katika taarifa ya misitu na ufugaji nyuki inabainisha kuwa mkaa ni chanzo kikubwa cha nishati ya kaya katika maeneo ya mijini kwa kupikia na kupasha joto, kwa kuwa inachukuliwa kuwa ya bei nafuu na inapatikanakwaurahisi.

Inakadiriwa kuwa asilimia 85 ya watu wote wa Tanzania kutegemea nishati ya majani. Nishati ya kupikia ndiyo inayoongoza kwa matumizi ya biomasi katika kaya ikilinganishwa na sekta nyingine kama vile ujenzi na kilimo sekta ya msingi.

Épisodes précédents

  • 123 - Tanzania:Juhudi za wabunifu katika kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira 
    Thu, 18 Apr 2024
  • 122 - Fursa za uchumi wa buluu zilizopo katika  Ziwa Victoria 
    Sat, 13 Apr 2024
  • 121 - Magonjwa ya figo Afrika Mashariki 
    Wed, 03 Apr 2024
  • 120 - Sehemu ya pili: Mradi wa kilimo unaofadhiliwa na AFD mjini Arusha 
    Sat, 30 Mar 2024
  • 119 - Utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na shirika la maendeleo la Ufaransa (AFD) 
    Wed, 20 Mar 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts actualités et politique français

Plus de podcasts actualités et politique internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast