Afrika Ya Mashariki

Afrika Ya Mashariki

RFI Kiswahili

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Écoutez le dernier épisode:

Tunaangazia jinsi vijana wanavyoweza kutumia fursa za kidijitali katika kukuza na kuimarisha shughuli zao za kiuchumi mjini Mwanza nchini Tanzania. 

Épisodes précédents

  • 143 - Wiki ya vijana ilivyoaadhimishwa mjini Mwanza nchini Tanzania 
    Thu, 17 Oct 2024
  • 142 - Tanzania: Mradi wa Jenga Kesho Bora ulivyoanza kutoa mazao kwa wafugaji wa samaki 
    Fri, 04 Oct 2024
  • 141 - Maadhimisho ya kimataifa ya siku ya lugha ya alama 
    Fri, 27 Sep 2024
  • 140 - EAC: Namna mafunzo ya ujasiriamali yanaweza kuwainua vijana 
    Wed, 18 Sep 2024
  • 139 - Maonesho ya awamu ya19 ya biashara katika nchi za Afrika Mashariki 
    Wed, 11 Sep 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts actualités et politique français

Plus de podcasts actualités et politique internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast