Habari RFI-Ki
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Actualités et Politique
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo.
Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.
Épisodes précédents
-
1098 - Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana Mon, 11 May 2026
-
1097 - Sheria mpya ya Uganda kukabili wageni wanaoingilia masuala yake ya ndani Fri, 08 May 2026
-
1096 - Maoni yako kuhusu kauli ya rais Samia kuhusu kukabili vijana wa Gen Z Fri, 08 May 2026
-
1095 - Ziara ya Rasi William Ruto nchini Tanzania na makubaliano baina ya nchi hizo Fri, 08 May 2026
-
1094 - Nini zaidi kifanyike kulinda uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari Fri, 08 May 2026
-
1093 - Mchango wa waskilizaji kuhusu taarifa za wiki ikiwemo rais wa zamani Joseph Kabila kuwekewa vikwazo Sat, 02 May 2026
-
1092 - UN umeendelea kuonya kuhusu mzozo wa Sudan kunyamaziwa na mataifa ya ulimwengu Sat, 02 May 2026
-
1091 - DRC kuunda kikosi maalum kulinda maeneo yanayochimbwa madini Sat, 02 May 2026
-
1090 - Vyama vya siasa Tanzania vinashinikiza marekebisho ya katiba Sat, 02 May 2026
-
1089 - Visa vya chuki dhidi ya raia wa kigeni vinaendelea kushuhudiwa Afrika Kusini Tue, 28 Apr 2026
-
1088 - Maoni yako kwenye makala ya habari rafiki Mada Huru Fri, 24 Apr 2026
-
1087 - Maandamano ya vijana wa Gen Z nchini Kenya kulalamikia kupanda kwa bei ya mafuta Tue, 21 Apr 2026
-
1086 - makubaliano mapaya kati ya Serikali ya DRC na M23 kukubaliana Mon, 20 Apr 2026
-
1085 - Makubaliano ya kusitisha vita kwa wiki mbili kati ya Marekani na Iran Fri, 10 Apr 2026
-
1084 - Rais wa Cameroon Paul Biya amteua mwanaye Franck Emmanuel Makamu wa rais Fri, 10 Apr 2026
-
1083 - Uhaba na bei za juu za mafuta zashuhudia kashfa ya maofisa wa serikali kuhodhi Wed, 08 Apr 2026
-
1082 - DRC kuanza kuwapokea wakimbizi haramu kutoka Marekani katika mkataba maalum Tue, 07 Apr 2026
-
1081 - Africa : Mila za Africa je zinapotea ? Sat, 04 Apr 2026
-
1080 - Maoni ya waskilizaji kuhusu matangazo yatu juma hili Fri, 03 Apr 2026
-
1079 - DRC : Yafunzu kucheza Kombe la Dunia 2026 Wed, 01 Apr 2026
-
1078 - Kombe la Dunia : Hofu ya dhuluma za wakati wa kombe la dunia Tue, 31 Mar 2026
-
1077 - Uganda : Kuondoa magari mabovu jijini Kampla Mon, 30 Mar 2026
-
1074 - Kila Ijumaa RFI kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote ile Fri, 27 Mar 2026
-
1073 - Kufungwa kwa makanisa nchini Rwanda ni kwa lengo la uwajibikaji Thu, 26 Mar 2026
Afficher plus d'épisodes
5