
Habari RFI-Ki
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Actualités et Politique
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Katika makala haya tujadili hatua ya mahakama ya juu zaidi nchini Kenya, kuagiza kwamba mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa kwenye dini ya kiislamu ana haki ya kumiliki mali ya babake kama watoto wengine waliozailiwa ndani ya ndoa, hatua inayoenda kinyume kabisa na tamaduni za dini hiyo.
Unazungumziaje uamuzi huu wa mahakama nchini Kenya ?
Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Épisodes précédents
-
970 - Kenya: Mahakama ya juu yasema mwana haramu si haramu Wed, 09 Jul 2025
-
969 - Côte d'Ivoire : Kurejeshewa ngoma maalum kutoka Ufaransa Tue, 08 Jul 2025
-
968 - Siku ya lugha ya kiswahili duniani makala maalum Mon, 07 Jul 2025
-
967 - Maoni yako kwenye mada huru Ijumaa hii Fri, 04 Jul 2025
-
966 - Watu karibu 500 wakamatwa nchini Kenya kufuatia maandamano ya Juni 25 2025 Wed, 02 Jul 2025
-
965 - Maoni yako kuhusu azma ya rais wa Uganda Museveni kuwania tena urais Tue, 01 Jul 2025
-
964 - Mkataba kati ya DRC na Rwanda ya kuleta amani yakudumu mashariki mwa DRC Mon, 30 Jun 2025
-
963 - Matukio ya wiki likiwemo kuelekea kusainiwa mkataba wa amani nchini DRC Fri, 27 Jun 2025
-
962 - Hatua ya bunge la Uingereza kuruhusu huduma ya kusaidiwa kufa Thu, 26 Jun 2025
-
961 - Maandamano ya kumbukizi ya kuwauwa kwa vijana zaidi ya 60 mwaka jana Wed, 25 Jun 2025
-
960 - Zambia :Rais Hakainde Hichilema asisitiza serikali kufanya mazizi ya Edgar Lungu Tue, 24 Jun 2025
-
959 - MAONI: DRC na Rwanda zitie saini makubaliano kumaliza mauaji ya raia Fri, 20 Jun 2025
-
958 - Burundi : Rais Ndayishimiye ataka mazungumzo na upinzani Mon, 16 Jun 2025
-
957 - Utumwa wa watoto waendelea kuripotiwa licha ya juhudi mbalimbali zinazowekwa Fri, 13 Jun 2025
-
956 - Kwa nini wanaume wanashindwa kutafuta ushauri wa afya ya akili Fri, 13 Jun 2025
-
955 - Rwanda yajiondoa ndani ya muungano wa mataifa ya Africa ya Kati Mon, 09 Jun 2025
-
954 - Maoni ya waskilizaji wetu Juma hili Sat, 31 May 2025
-
953 - Uganda : Ombi la Msamaha wa rais Museveni ni la kweli Thu, 29 May 2025
-
952 - EAC : Je wanachama wana cha kujivunia Wed, 28 May 2025
-
951 - Africa: Ina lolote cha kujivunia Tue, 27 May 2025
-
950 - DRC: Kabila kuondolewa kinga je ni sahihi Mon, 26 May 2025
-
949 - Maoni ya waskilizaji kuhusu habari zetu juma hili Fri, 23 May 2025
-
948 - Mazungumzo ya Kigali na Washington kuhusu Rwanda kuwapokea wahamiaji kutoka Marekani Thu, 22 May 2025
-
946 - Uganda yapitisha mswada kuruhusu raia kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi Wed, 21 May 2025
Afficher plus d'épisodes
5