Habari RFI-Ki

Habari RFI-Ki

RFI Kiswahili

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Écoutez le dernier épisode:

Katika makala haya tujadili hatua ya mahakama ya juu zaidi nchini Kenya, kuagiza kwamba mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa kwenye dini ya kiislamu ana haki ya kumiliki mali ya babake kama watoto wengine waliozailiwa ndani ya ndoa, hatua inayoenda kinyume kabisa na tamaduni za dini hiyo.

Unazungumziaje uamuzi huu wa mahakama nchini Kenya ?

Haya hapa baadhi ya maoni yako.

Épisodes précédents

  • 970 - Kenya: Mahakama ya juu yasema mwana haramu si haramu 
    Wed, 09 Jul 2025
  • 969 - Côte d'Ivoire : Kurejeshewa ngoma maalum kutoka Ufaransa 
    Tue, 08 Jul 2025
  • 968 - Siku ya lugha ya kiswahili duniani makala maalum 
    Mon, 07 Jul 2025
  • 967 - Maoni yako kwenye mada huru Ijumaa hii 
    Fri, 04 Jul 2025
  • 966 - Watu karibu 500 wakamatwa nchini Kenya kufuatia maandamano ya Juni 25 2025 
    Wed, 02 Jul 2025
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts actualités et politique français

Plus de podcasts actualités et politique internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast