
Habari RFI-Ki
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Actualités et Politique
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Makala ya leo yanaangazia Kikao cha viongozi wa Afrika, kilichotamatika rasmi mwishoni mwa juma lililopita nchini Ethiopia, mzozo wa DRC na Sudan ukigubika mijadala yao.
Hata hivyo vikao hivyo vimekamilika bila suluhu ya mizozo ya nchi zote mbili, ambapo vyongozi waliishia kwa kutoa wito wa kusitisha mapigano. tulimuuliza msikilizaji iwapo anaridhika na matokeo ya kikao hicho na anadhani nini cha zaidi viongozi hawa wangefanya kukomesha mizozo barani Afrika
Épisodes précédents
-
909 - Kikao cha usalama wa DRC na Sudan chakamilika Ethiopia bila suluhu Mon, 17 Feb 2025
-
908 - Mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Afrika kuzingatia usalama wa DRC Thu, 13 Feb 2025
-
907 - Kauli ya rais Donald Trump kuhamisha wapalestina yapingwa vikali Wed, 12 Feb 2025
-
906 - Hatua ya Kenya kuondoa mahojiano kwa waomba vitambulisho yaibua hisia mseto Tue, 11 Feb 2025
-
905 - Kauli ya mkutano wa SADC na EAC kuhusu amani nchini DRC waibua maoni mseto Mon, 10 Feb 2025
-
904 - Kila siku ya Ijumaa huwa tunaangazia mada huru kwenye makala habari rafiki Fri, 31 Jan 2025
-
903 - Changamoto za upatikanaji wa Nishati ya Uhakika barani Afrika Thu, 30 Jan 2025
-
902 - Athari za Donald Trump kusitisha misaada kwa Afrika na njia mbadala kujitegemea Thu, 30 Jan 2025
-
901 - Swali: Je viongozi wa Afrika wanaweza kutatua migogoro inayokumba bara hilo Wed, 29 Jan 2025
-
900 - Wito wa mataifa ya Afrika kutafuta suluhu kwa matatizo ya Afrika Wed, 29 Jan 2025
-
899 - Nani wa kulaumiwa kuhusu vita vinavyoendelea mashariki mwa DRC Thu, 23 Jan 2025
-
898 - Visa vya uchimbaji madini haramu vinazidi kuongezeka barani Afrika Wed, 22 Jan 2025
-
897 - Dunia itarajie nini kutoka kwa uongozi wa Rais wa Marekani Donald Trump Tue, 21 Jan 2025
-
896 - Wataalamu wa afya kutoka jumuia ya EAC wakutana Mombasa pwani ya Kenya Wed, 15 Jan 2025
-
895 - Kila siku ya Ijumaa kwenye makala Habari Rafiki ni Mada Huru Fri, 03 Jan 2025
-
894 - Viongozi wa Afrika mashariki watoa wito wa amani kwenye hotuba ya mwaka mpya Thu, 02 Jan 2025
-
893 - Dunia yaukaribisha mwaka mpya wa 2025 huku viongozi wakiomba amani Wed, 01 Jan 2025
-
892 - Matumizi ya mitandao ya kijamii nchini Kenya yaibua hisia mbalimbali Tue, 31 Dec 2024
-
891 - Umoja wa mataifa,waidhinisha kikosi kipya cha kulinda amani nchini Somalia Mon, 30 Dec 2024
-
890 - MADA HURU Fri, 27 Dec 2024
-
889 - Morocco yapendekeza wanawake kurithi mali na muda wa kuolewa kuongezwa Thu, 26 Dec 2024
-
888 - Krisimasi: Mamia ya wasafiri Kenya wakwama barabarani wakielekea sikukuu Tue, 24 Dec 2024
-
887 - Habari Rafiki: Somalia kuongoza Kikosi cha Kudumu cha Afrika Mashariki Mon, 23 Dec 2024
-
886 - Maoni ya mskilizaji kuhusu taarifa zetu juma hili Fri, 20 Dec 2024
Afficher plus d'épisodes
5