Habari RFI-Ki

Habari RFI-Ki

RFI Kiswahili

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Écoutez le dernier épisode:

Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo.

Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.

Épisodes précédents

  • 1098 - Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana 
    Mon, 11 May 2026
  • 1097 - Sheria mpya ya Uganda kukabili wageni wanaoingilia masuala yake ya ndani 
    Fri, 08 May 2026
  • 1096 - Maoni yako kuhusu kauli ya rais Samia kuhusu kukabili vijana wa Gen Z 
    Fri, 08 May 2026
  • 1095 - Ziara ya Rasi William Ruto nchini Tanzania na makubaliano baina ya nchi hizo 
    Fri, 08 May 2026
  • 1094 - Nini zaidi kifanyike kulinda uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari 
    Fri, 08 May 2026
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts actualités et politique français

Plus de podcasts actualités et politique internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast