Nyumba ya Sanaa

Nyumba ya Sanaa

RFI Kiswahili

Nyumba ya Sanaa ni Makala ya  Utamaduni ambayo inatoa fursa  kwa wasanii  na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Arts

Écoutez le dernier épisode:

Wasanii wa Muziki Afrika na Duniani kote wanakutana visiwani Zanzibar kufurahia uzuri na Upekee wa Muziki, wageni mbalimbali hukusanyika kushuhudia Tamasha la Sauti za Busara kila ifikao mwezi Februari. 

Épisodes précédents

  • 218 - Tamasha la Sauti za Busara linalofanyika kila mwezi Februari Zanzibar 
    Sat, 01 Feb 2025
  • 217 - Mfahamu Leo Mkanyia Mwanamuziki wa Muziki wa Asili kutoka Tanzania 
    Sat, 25 Jan 2025
  • 216 - Tanzania: Utunzi wa vitabu na Sikudhani Mohamed Jalala 
    Sat, 18 Jan 2025
  • 215 - Changamoto za wanamuziki wa kizazi kipya wanaochipukia nchini Tanzania 
    Sat, 07 Dec 2024
  • 214 - Muziki wa asili kutoka nchini Tanzania 
    Sat, 23 Nov 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts arts français

Plus de podcasts arts internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast