Nyumba ya Sanaa

Nyumba ya Sanaa

RFI Kiswahili

Nyumba ya Sanaa ni Makala ya  Utamaduni ambayo inatoa fursa  kwa wasanii  na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Arts

Écoutez le dernier épisode:

Muziki wa Taarab unashehenezwa na mirindimo ya vyombo kwa kisasa sambamba na Kinanda , Kutana na Chid Boy Mpiga kinanda wa Bendi ya Nakshi Nakshi na Mmiliki wa Bendi hiyo.

Épisodes précédents

  • 186 - Muziki wa Taarab na chid boy mpiga kinanda wa bendi ya nakshi nakshi 
    Sat, 16 Mar 2024
  • 185 - Muziki wa kizazi kipya na Kadason kutoka nchini Tanzania 
    Sat, 09 Mar 2024
  • 184 - Huduma kwa watu wenye ulemavu nchini Tanzania 
    Wed, 28 Feb 2024
  • 183 - Zanzibar: Wasani waliotumbuiza katika tamasha la sauti za busara 
    Sat, 24 Feb 2024
  • 182 - Zanzibar: Kuanzishwa kwa sauti za busara festival 
    Sat, 17 Feb 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts arts français

Plus de podcasts arts internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast