Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Sciences et Médecine
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Miongoni mwa mambo yalioamuliwa ni kuhamasisha kiasi cha fedha trilioni 1.3 kila mwaka kufikia 2035 wa ajili ya hatua za tabianchi, kuimarisha fedha uhimilivu mara tatu kufikia 2035.
Msikilizaji, suala la kuharakisha ufadhili wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi inasalia kuwa kipaumbele cha dharura hasa kwa nchi zinazoendelea ambazo zina athirika pakubwa na janga hilo.
Épisodes précédents
-
226 - COP30 uliotamatika jijini Belem, Brazil,, suala la ufadhili wa tabianchi, nishati safi ni miongoni mwa ajenda Fri, 05 Dec 2025
-
225 - Shirika la Weather Mtaani labuni teknolojia ya kuepuka majanga ya hali ya hewa Kibera Tue, 18 Nov 2025
-
224 - Mkutano wa mabadiliko ya tabianchi COP30 jijini Belem, Brazil Wed, 12 Nov 2025
-
223 - Ripoti: Matajiri wachache wanateka nyara dunia kwa kuchangia pakubwa utoaji wa hewa ukaa Thu, 06 Nov 2025
-
222 - Siku ya Chakula duniani: Mapendo Banque Alimentaire yapambana na ukosefu wa usalama wa chakula Fri, 24 Oct 2025
-
221 - maadhimisho ya siku ya kimataifa ya upunguzaji wa hatari ya majanga Sat, 18 Oct 2025
-
220 - Vijana walioasi uhalifu na kujitosa katika kutunza mazingira ya kijiji chao Tue, 07 Oct 2025
-
219 - Siku ya kimataifa ya hamasisho kuhusu upotevu na uharibifu wa chakula Mon, 29 Sep 2025
-
218 - ACS2: Addis Ababa: Vijana wasisitiza uwekezaji kwenye ajira za kijani Mon, 29 Sep 2025
-
217 - Oxfam: Nchi tajiri zimevunja ahadi zao za ufadhili wa hali ya hewa kwa Afrika Wed, 10 Sep 2025
-
216 - Wiki ya maji duniani na mabadiliko ya tabianchi: Changamoto ya upatikanaji wa maji katika maeneo kame Mon, 01 Sep 2025
-
215 - Vijana Dar es Salaam watumia teknolojia kukabili mafuriko na mabadiliko ya tabianchi Tue, 26 Aug 2025
-
214 - Mtokeo ya majadiliano ya kimataifa kuhusu mkataba wa kisheria wa kukabili taka za plastiki Wed, 20 Aug 2025
-
213 - UN: Ni asilimia 35 pekee ya malengo ya maendeleo endelevu ndio yako katika njia sahihi kufikiwa Mon, 11 Aug 2025
-
212 - Mkataba wa plastiki: Mgawanyiko kuhusu jinsi ya kukabiliana na hatari ya kiafya na kiikolojia. Tue, 05 Aug 2025
-
211 - Matokeo ya mkutano wa AMCEN katika jitihada za bara la Afrika kukabili mabadiliko ya tabinanchi Mon, 28 Jul 2025
-
210 - Mafanikio ya miaka 50 ya utekelezaji wa CITES, kulinda wanyamapori na mimea Mon, 21 Jul 2025
-
209 - Mradi wa EACOP umekamilika asilimia 62, wanaharakati wakiendelea kuupinga Mon, 14 Jul 2025
-
208 - Ziwa Viktoria: Nishati ya sola na biogesi yatoa suluhu ya kukabili taka za mabaki ya samaki na dagaa Mon, 07 Jul 2025
-
207 - Matumizi ya viuatilifu au viuadudu na madhara kwa mazingira Tue, 01 Jul 2025
-
206 - Vitabu: Kampeni ya kuwafikia watoto milioni moja kuhusu uhifadhi Mon, 23 Jun 2025
-
205 - Mgogoro wa Bahari: Afrika yataka kushirikishwa kikamilifu katika ulinzi wa bahari Thu, 19 Jun 2025
-
204 - Uhifadhi wa baharini: Hospitali ya kasa Pwani ya Kenya yatoa ahueni kwa viumbe hao Mon, 09 Jun 2025
-
203 - Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Mazingira, taka za plastiki suala kuu Mon, 02 Jun 2025
Afficher plus d'épisodes
5