Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Sciences et Médecine
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Msikilizaji, juma moja lililopita, mawaziri kutoka karibu mataifa 50 duniani walikutana nchini Colombia kwa mkutano wa mazingira uliolenga kujadili mbinu za mataifa kuachana kikamilifu na nishati zinachafua mazingira ikiwemo gesi na mafuta.
Mjadala kuhusu mataifa kuachana na matumizi ya nishati chafu zinazochangia ongezeko la joto duniani, umekuwepo katika mikutano tofauti ya kimataifa ya mazingira, ikiwemo mikutano ya COP inayofanyika kila mwaka.
Épisodes précédents
-
244 - Nchini Colombia, mkutano wa kwanza wa kimataifa kuhusu mafuta ya visukuku Tue, 12 May 2026
-
243 - Jamii katika maeneo kame nchini kenya zawezeshwa ili kustahimili athari za mabadiliko ya tabianchi. Mon, 27 Apr 2026
-
242 - Sera za Mipango miji barani Afrika zinazingatia ustahimilivu wa majanga mijini? Mon, 20 Apr 2026
-
241 - Ukulima wa mianzi katika kutunza mazingira ya mito nchini Kenya. Fri, 10 Apr 2026
-
240 - Manufaa ya ardhi oevu ya Ondiri kwa jamii ya kikuyu Wed, 01 Apr 2026
-
239 - Uhifadhi wa kinamasi cha Ondiri mjini Kikuyu, nchini Kenya Tue, 24 Mar 2026
-
238 - Matumizi ya mitego ya wadudu inayotumia sola yaboresha parachichi na mazingira Tue, 24 Feb 2026
-
237 - Jukumu la redio katika kuelimisha kuhusu mazingira na tabianchi Tue, 17 Feb 2026
-
236 - Hatau ya Marekani kujiondo kwenye mikataba ya mazingir na tabianchi na athari zake Sun, 15 Feb 2026
-
235 - Awamu ya pili Siku ya Kimataifa ya nishati safi 26 01 2026: Biogesi kama moja ya suluhisho Sat, 07 Feb 2026
-
234 - Siku ya Kimataifa ya nishati safi 26 01 2026: Biogesi kama moja ya suluhisho Tue, 27 Jan 2026
-
233 - Mfumo wa sola tembezi wanufaisha wakulima maeneo kame nchini Kenya Thu, 22 Jan 2026
-
232 - Jinsi jamii ya wamasaai wanavyohamia kwenye ufugaji wa samaki baada ya mabadiliko ya tabia nchi Sun, 18 Jan 2026
-
231 - Awamu ya pili: Matukio muhimu ya mazingira na tabianchi mwaka wa 2025 Mon, 05 Jan 2026
-
230 - Awamu ya kwanza:Matukio muhimu ya mazingira na tabianchi 2025 Tue, 30 Dec 2025
-
229 - Wanaharakati wataka uhifadhi wa msitu wa mvua wa Kongo kupewa kipaumbele Fri, 26 Dec 2025
-
228 - Lugha ya kiswahili katika kuimarisha uelewa, uhamasishaji na hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi Fri, 19 Dec 2025
-
227 - Kituo cha jambo Redio nchini DRC chapokea tuzo kwenye COP30 Mon, 15 Dec 2025
-
226 - COP30 uliotamatika jijini Belem, Brazil,, suala la ufadhili wa tabianchi, nishati safi ni miongoni mwa ajenda Fri, 05 Dec 2025
-
225 - Shirika la Weather Mtaani labuni teknolojia ya kuepuka majanga ya hali ya hewa Kibera Tue, 18 Nov 2025
-
224 - Mkutano wa mabadiliko ya tabianchi COP30 jijini Belem, Brazil Wed, 12 Nov 2025
-
223 - Ripoti: Matajiri wachache wanateka nyara dunia kwa kuchangia pakubwa utoaji wa hewa ukaa Thu, 06 Nov 2025
-
222 - Siku ya Chakula duniani: Mapendo Banque Alimentaire yapambana na ukosefu wa usalama wa chakula Fri, 24 Oct 2025
-
221 - maadhimisho ya siku ya kimataifa ya upunguzaji wa hatari ya majanga Sat, 18 Oct 2025
Afficher plus d'épisodes
5