Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

RFI Kiswahili

Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.

Écoutez le dernier épisode:

Makala haya yanazungumzia  jinsi Wakulima wengi nchini Kenya wanakumbatia mbinu mpya za kudhibiti wadudu waharibifu wa mimea kwa kutumia madawa ya kiasili badala ya kemikali za viwandani. Kutokana na madhara yanayotokana na matumizi ya dawa za kemikali,wakulima hawa sasa wanageukia madawa hayo asilia kuimarisha mazao na mazingira , Mimea kama vile ,pareto,kitunguu saumu,pilipili na hata mtunguja pori yaani sodom apple sasa inatumika kutengeneza madawa hayo.

Épisodes précédents

  • 190 - Umuhimu wa matumizi ya madawa ya kiasili kunyunyuzia mimea shambani 
    Mon, 10 Feb 2025
  • 189 - Wakaaji wa mijini wanavyotumia Bustani ya Nyumbani kukabili mabadiliko ya tabia nchi 
    Mon, 03 Feb 2025
  • 188 - Hatua ya Marekani kujiondoa kwa mkataba wa Paris kuathiri nchi maskini 
    Tue, 28 Jan 2025
  • 187 - Kenya: Jinsi nguo za mitumba zinachangia katika uharibifu wa mazingira 
    Thu, 23 Jan 2025
  • 186 - Raia wakubali kuachana na matumizi ya kuni lakini nishati safi ni ghali kwao 
    Wed, 15 Jan 2025
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts sciences et médecine français

Plus de podcasts sciences et médecine internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast