
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Sciences et Médecine
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Makala haya yanazungumzia jinsi Wakulima wengi nchini Kenya wanakumbatia mbinu mpya za kudhibiti wadudu waharibifu wa mimea kwa kutumia madawa ya kiasili badala ya kemikali za viwandani. Kutokana na madhara yanayotokana na matumizi ya dawa za kemikali,wakulima hawa sasa wanageukia madawa hayo asilia kuimarisha mazao na mazingira , Mimea kama vile ,pareto,kitunguu saumu,pilipili na hata mtunguja pori yaani sodom apple sasa inatumika kutengeneza madawa hayo.
Épisodes précédents
-
190 - Umuhimu wa matumizi ya madawa ya kiasili kunyunyuzia mimea shambani Mon, 10 Feb 2025
-
189 - Wakaaji wa mijini wanavyotumia Bustani ya Nyumbani kukabili mabadiliko ya tabia nchi Mon, 03 Feb 2025
-
188 - Hatua ya Marekani kujiondoa kwa mkataba wa Paris kuathiri nchi maskini Tue, 28 Jan 2025
-
187 - Kenya: Jinsi nguo za mitumba zinachangia katika uharibifu wa mazingira Thu, 23 Jan 2025
-
186 - Raia wakubali kuachana na matumizi ya kuni lakini nishati safi ni ghali kwao Wed, 15 Jan 2025
-
185 - Matumizi ya kilimo kinachokabili mabadiliko ya tabia nchi Afrika mashariki Tue, 07 Jan 2025
-
184 - Mazingira: Kelele chafuzi na athari zake Mon, 30 Dec 2024
-
183 - Dampo la Nkumba- Tishio kwa ziwa Victoria na maisha ya jamii za Uganda Thu, 26 Dec 2024
-
182 - Mwanzo mpya: vijana wa Pwani ya Kenya wajijenga upya kupitia kazi za mazingira Tue, 17 Dec 2024
-
181 - Wataalam wa mazingira: Kuchakata plastiki sio suluhu ikiwa nchi zinazalisha zaidi Tue, 10 Dec 2024
-
180 - COP29: Wanamazingira wapendekeza ufadhili zaidi kwa Afrika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Tue, 19 Nov 2024
-
179 - Ripoti ya mazingira ya UNEP kuhusu pengo la uzalishaji wa gesi chafu duniani 2024 Thu, 31 Oct 2024
-
178 - Jamii Pwani ya Kenya wapinga mradi wa nyuklia kutokana na athari kwa mazingira Tue, 29 Oct 2024
-
177 - DRC:Jamii ya mbilikimo wakemea uharibifu wa misitu unaofanywa na makundi ya waasi Wed, 09 Oct 2024
-
176 - Siku ya kimataifa ya uhamasisho kuhusu upotevu na utpaji wa chakula Mon, 30 Sep 2024
-
175 - Siku ya kimataifa ya kufanya usafi wa mazingira na matumlizi ya teknolojia Mon, 23 Sep 2024
-
174 - Wahifadhi wahofia kudidimia kwa tembo aina ya "Super Tusker' Fri, 06 Sep 2024
-
173 - Mchango wa mashirika yasio ya kiserikali kuwezesha upatikanaji wa maji safi kwa jamii nchini Kenya Fri, 06 Sep 2024
-
172 - Matumizi ya taka za chupa za plastiki kuendeleza kilimo bila mchanga(Hydroponic farming) Mon, 12 Aug 2024
-
171 - Kenya: Namna mabaki ya ngozi ya samaki yanavyotumiwa kuhifadhi mazingira Mon, 05 Aug 2024
-
170 - Uhifadhi wa mbegu za kitamaduni na sera zinazotishia mapato ya wakulima wadogo nchini Kenya Mon, 29 Jul 2024
-
169 - Uhifadhi wa mbegu za kitamaduni na kiasili na shirka la Seed Savers Network Mon, 22 Jul 2024
-
168 - Ugeuzaji wa taka za plastiki kuwa matofali maalum(Cabro) inayotumika kutengeneza barabara Mon, 17 Jun 2024
-
167 - Uboreshaji wa ardhi, kuimarisha ustahimilivu kwa ukame, na kupambana na kuenea kwa majangwa Wed, 12 Jun 2024
Afficher plus d'épisodes
5