Changu Chako, Chako Changu

Changu Chako, Chako Changu

RFI Kiswahili

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Culture et Société

Écoutez le dernier épisode:

Katika Makala haya, mtangazaji wako Ali Bilali anazungumza na Cassypool mwanamitandao na muhamasishaji kutoka nchini Kenya, ambae amejizolea umaharufu kupitia kile alichokiita tasnia ya uchawa, ambapo anaeleza kuwa chawa wa rais wa Kenya William Ruto na sasa ni chawa wa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Kumbuka pia kutufollow kwa instagram @billy_bilali

Épisodes précédents

  • 251 - Historia ya maisha ya Cassypool hadi kuwa Chawa wa marais 
    Tue, 11 Feb 2025
  • 250 - Historia ya kabila la Wakalejin,Sanaa ya Kuigiza ya African Twist Pamoja na Historia yake Yemi Alade 
    Sun, 26 Jan 2025
  • 249 - Waskilizaji wa RFI kiswahili watakiana heri ya mwaka mpya kupitia Makala Changu Chako 
    Thu, 16 Jan 2025
  • 248 - Makala ya mwisho katika mwaka 2024, salamu wa wasikilizaji na msanii Isifiwe Kibangula 
    Sun, 29 Dec 2024
  • 247 - Historia ya kabila la Wamasai ,Sanaa ya Uchoraji na Historia ya Muziki wake Burna Boy 
    Sun, 22 Dec 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts culture et société français

Plus de podcasts culture et société internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast