Changu Chako, Chako Changu

Changu Chako, Chako Changu

RFI Kiswahili

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Culture et Société

Écoutez le dernier épisode:

Katika makala haya mtangazaji wako Ali Bilali anaangazia utamaduni wa kujifunza lugha na furza za mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika na Ufaransa, mkutano ambao hapo awali ulifahamika kama France Afrique.

Kumbuka kunifollow @billybilali

Épisodes précédents

  • 296 - Changu Chako Chako Chako Changu: fursa za kikao cha Ufaransa na Mataifa ya Afrika 
    Sun, 10 May 2026
  • 295 - Historia ya siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari 
    Sun, 03 May 2026
  • 294 - Historia ya vita vya Iran na Israeli huko mashariki ya kati 
    Sat, 25 Apr 2026
  • 293 - Changu chako: Utamaduni wa watu kutoka Embu nchini Kenya 
    Sun, 19 Apr 2026
  • 292 - Changu Chako Chako Changu: Utamaduni wa kuishi pamoja makabila mbalimbali April 12 2026 
    Sun, 12 Apr 2026
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts culture et société français

Plus de podcasts culture et société internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast