Changu Chako, Chako Changu

Changu Chako, Chako Changu

RFI Kiswahili

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Culture et Société

Écoutez le dernier épisode:

Ni jumapili nyingine tunakutana mimi na wewe mskilizaji katika makaka haya Changu Chako Chako Changu, ambayo leo ni maalum kabisa, kuhusu maadhimisho ya miaka 15 tangu kuanza kwa matangazo ya idhaa ya kiswahili ya radio France Internationale RFI. Julai 5 mwaka 2010 huko jijini Dar es salaam nchini Tanzania, tarehe ambayo inakwenda sambamba na maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya lugha ya Kiswahili duniani.  Mimi ni Ali Bilali. Bienvenue, ama Karibu

Épisodes précédents

  • 263 - Maadhimisho ya miaka 15 ya RFI Kiswahili na siku ya Kimataifa ya Kiswahili 
    Sun, 06 Jul 2025
  • 262 - Maandalizi ya utoaji Tuzo za Safal Fasihi ya Kiswahili Julai 3 jijini Dar es salaam 
    Sun, 29 Jun 2025
  • 261 - Changu Chako maalum kuhusu historia ya siku ya muziki duniani Juni 22 2025 
    Sun, 22 Jun 2025
  • 260 - Fuatilia hapa toleo la 78 la tamasha la filamu maharufu duniani Festival de Cannes 
    Sun, 01 Jun 2025
  • 259 - Historia kuhusu uteuzi wa papa Leo wa XIV, miaka 44 yangu kifo cha Bob Marley 
    Sat, 10 May 2025
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts culture et société français

Plus de podcasts culture et société internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast