Gurudumu la Uchumi

Gurudumu la Uchumi

RFI Kiswahili

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .

Écoutez le dernier épisode:

Kulingana na Benki ya Maendeleo ya Afrika, uchumi wa bluu barani Afrika una uwezo wa kuchangia pakubwa katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya bara hilo.

Uchumi wa bluu unatajwa kuchangia dola za Marekani trilioni 1 kila mwaka, Sekta ya uvuvi ikiwa kitovu kikuu na kuajiri zaidi ya watu milioni 12.

Profesa Omary Mbura, mtaalamu na mhadhiri wa masuala ya uchumi kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam, anaangazia sekta hii.
 

Épisodes précédents

  • 224 - Wataalamu: Uchumi Samawati utumiwe vizuri kwa maendeleo endelevu 
    Thu, 11 Apr 2024
  • 223 - Umuhimu wa ushirikiano kati ya sekta binafsi na uma 
    Mon, 04 Mar 2024
  • 222 - Ukulima wa matunda Kenya na changamoto zake 
    Mon, 04 Mar 2024
  • 221 - Changamoto za uhamiaji na fursa zake kwa uchumi 
    Mon, 04 Mar 2024
  • 220 - Kuberoshwa kwa huduma ya intaneti Kenya na ilivyochochea ubunifu 
    Mon, 04 Mar 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts économie et entreprise français

Plus de podcasts économie et entreprise internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast