Gurudumu la Uchumi

Gurudumu la Uchumi

RFI Kiswahili

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .

Écoutez le dernier épisode:

Kupitia ripoti iliyozinduliwa juma hili na shirikisho la wazalishaji nchini Kenya, inaonyesha kuwa kusafirisha bidhaa katika njia muhimu za biashara za Afrika bado ni ghali na haitabiriki, ambapo wakati mwingine hugharimu hadi dola 7,000 za Marekani kwa kontena moja kati ya Nairobi na Lusaka. Kwenye Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, tumezungumza na Tobias Alando, mkurugenzi mtendaji wa shirikisho la wamiliki wa viwanda nchini Kenya.

Épisodes précédents

  • 295 - Kwa nini vikwazo vya usafirishaji ni kizuizi kikubwa cha biashara Afrika Mashariki 
    Wed, 01 Apr 2026
  • 294 - Uwazi kwenye ubinafsishaji wa mashirika ya uma ni muhimu kwa maendeleo 
    Wed, 11 Mar 2026
  • 293 - Vita ya Iran: Afrika imejipangaje kukabiliana na athari za kiuchumi 
    Wed, 04 Mar 2026
  • 292 - Ushirikishwaji wa wanawake katika sekta za kiuchumi chanzo cha ukuaji wa uchumi 
    Wed, 25 Feb 2026
  • 291 - Ushirikiano wa kikanda hatarini: Nakisi ya bajeti yaibua maswali mapya 
    Wed, 18 Feb 2026
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts économie et entreprise français

Plus de podcasts économie et entreprise internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast