
Gurudumu la Uchumi
RFI Kiswahili
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Économie et Entreprise
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Épisodes précédents
-
269 - Mabadiliko ya tabia nchi na matumizi ya teknolojia kwenye kilimo Wed, 11 Jun 2025
-
268 - Mfumuko wa bei na mzigo wa madeni Wed, 04 Jun 2025
-
267 - Sehemu ya II: Sehemu ya I: Je, Teknolojia Inaweza Kupunguza changamoto za Biashara barani Afrika? Wed, 28 May 2025
-
266 - Sehemu ya I: Je, Teknolojia Inaweza Kupunguza changamoto za Biashara barani Afrika? Wed, 21 May 2025
-
265 - Kenya: Wanawake Nandi waruka vikwazo kujikwamua kiuchumi Wed, 14 May 2025
-
264 - Kodi ya lipa Kadiri unavyopata (PAYE): Athari kwa wafanyakazi na waajiri Wed, 07 May 2025
-
263 - Vita ya Biashara: Athari kwa Biashara na Uwekezaji kwa nchi za ukanda Wed, 30 Apr 2025
-
262 - Kilimo na teknolojia ya Akili Mnemba Afrika Wed, 23 Apr 2025
-
261 - Sehemu II: Madhara ya ushuru wa Trump kwa bara la Afrika na biashara ya dunia Wed, 16 Apr 2025
-
260 - Sehemu I: Madhara ya ushuru wa Trump kwa bara la Afrika na biashara ya dunia Wed, 09 Apr 2025
-
259 - Sehemu ya Pili: Uchakataji taka za plastiki kwa vijana Wed, 02 Apr 2025
-
258 - Sehemu ya Kwanza: Uchakataji taka za plastiki kwa vijana Wed, 26 Mar 2025
-
257 - Ushirikiano wa kibiashara kati ya Kenya na Ufaransa Wed, 19 Mar 2025
-
256 - Miundombinu; changamoto ya upatikanaji wa nishati (umeme) Afrika Wed, 12 Mar 2025
-
255 - Athari kwa uchumi wa dunia kutokana na vikwazo vya kibiashara vilivyotangazwa na Marekani Wed, 05 Mar 2025
-
254 - Sehemu ya Pili: Afrika na harakati za kudai mabadiliko kwenye taasisi za kifedha za kimataifa Wed, 26 Feb 2025
-
253 - Je, Afrika itafanikiwa kushinikiza mabadiliko katika mifumo ya kimataifa ya kifedha Wed, 19 Feb 2025
-
252 - Migogoro inavyotatiza ukuaji wa uchumi, maendeleo na utawala bora Afrika Wed, 12 Feb 2025
-
251 - Afrika inajifunza nini baada ya Marekani kusitisha kwa muda misaada ya nje. Wed, 05 Feb 2025
-
250 - Changamoto ya upatikanaji wa nishati ya uhakika barani Afrika Wed, 29 Jan 2025
-
249 - Wataalamu waonya kuhusu pengo la walionacho na wasionacho Wed, 22 Jan 2025
-
248 - Nchini Kenya Vijana wa mitaa duni wakumbatia Teknolojia ya biashara ndogo ndogo Wed, 15 Jan 2025
-
247 - Sehemu ya II: Umuhimu wa kuwa na nidhamu ya kuweka akiba ya fedha Wed, 08 Jan 2025
-
246 - Sehemu ya I: Kwanini ni muhimu kuwa na nidhamu ya kuweka akiba ya fedha Wed, 01 Jan 2025
Afficher plus d'épisodes
5