Gurudumu la Uchumi

Gurudumu la Uchumi

RFI Kiswahili

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .

Écoutez le dernier épisode:

Wiki hii katika makala ya Gurudumu la Uchumi, tunajadili namna teknolojia inaweza kutumika katika kukifanya kilimo kuwa cha kisasa. Tumezungumza na Mhandisi Octavian Lasway, mtaalamu wa masuala ya mabadiliko ya tabia nchi na umwagiliaji.

Épisodes précédents

  • 269 - Mabadiliko ya tabia nchi na matumizi ya teknolojia kwenye kilimo 
    Wed, 11 Jun 2025
  • 268 - Mfumuko wa bei na mzigo wa madeni 
    Wed, 04 Jun 2025
  • 267 - Sehemu ya II: Sehemu ya I: Je, Teknolojia Inaweza Kupunguza changamoto za Biashara barani Afrika? 
    Wed, 28 May 2025
  • 266 - Sehemu ya I: Je, Teknolojia Inaweza Kupunguza changamoto za Biashara barani Afrika? 
    Wed, 21 May 2025
  • 265 - Kenya: Wanawake Nandi waruka vikwazo kujikwamua kiuchumi 
    Wed, 14 May 2025
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts économie et entreprise français

Plus de podcasts économie et entreprise internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast