
Gurudumu la Uchumi
RFI Kiswahili
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Économie et Entreprise
Écoutez le dernier épisode:
Hujambo msikilizaji wa RFI Kiswahili popote pale unapotegea sikio matangazo yetu, makala ni Gurudumu la Uchumi na leo hii tunazungumzia kuhusu athari za kiuchumi kutokana na mizozo kwenye nchi za Afrika.
Tutazungumza na Hamduni Marcel, mchambuzi wa siasa za kimataifa akiwa Tanzania na Ali Mkimo, mchambuzi wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania.
Épisodes précédents
-
252 - Migogoro inavyotatiza ukuaji wa uchumi, maendeleo na utawala bora Afrika Wed, 12 Feb 2025
-
251 - Afrika inajifunza nini baada ya Marekani kusitisha kwa muda misaada ya nje. Wed, 05 Feb 2025
-
250 - Changamoto ya upatikanaji wa nishati ya uhakika barani Afrika Wed, 29 Jan 2025
-
249 - Wataalamu waonya kuhusu pengo la walionacho na wasionacho Wed, 22 Jan 2025
-
248 - Nchini Kenya Vijana wa mitaa duni wakumbatia Teknolojia ya biashara ndogo ndogo Wed, 15 Jan 2025
-
247 - Sehemu ya II: Umuhimu wa kuwa na nidhamu ya kuweka akiba ya fedha Wed, 08 Jan 2025
-
246 - Sehemu ya I: Kwanini ni muhimu kuwa na nidhamu ya kuweka akiba ya fedha Wed, 01 Jan 2025
-
245 - Nidhamu ya matumizi ya fedha Wed, 25 Dec 2024
-
244 - Akina mama jimbo la Migori nchini Kenya wanzisha kiwanda cha kuchakata samaki Thu, 19 Dec 2024
-
243 - Manufaa na changamoto za mkataba wa biashara huria barani Afrika, AfCFTA Wed, 04 Dec 2024
-
242 - Vijana pwani ya Kenya waachana na dawa za kulevya na kugeukia shughuli za kiuchumi Wed, 13 Nov 2024
-
241 - Sehemu ya pili: Je kuongeza kodi ni suluhu kwa matatizo ya Afrika Thu, 07 Nov 2024
-
240 - Je, nyongeza ya kodi ni suluhu kwa nchi zinazoendelea kujikwamua kiuchumi Wed, 30 Oct 2024
-
239 - Athari za Kiuchumi kutokana na ongezeko la watu barani Afrika: Changamoto na fursa Wed, 09 Oct 2024
-
238 - Athari za utoroshaji na utakatishaji fedha barani Afrika Wed, 02 Oct 2024
-
237 - Fursa na changamoto ya huduma jumuishi za mifumo ya kifedha kidijitali barani Afrika Wed, 18 Sep 2024
-
236 - Afrika na usalama wa chakula Wed, 11 Sep 2024
-
235 - Ndio au hapana, mkutano kati ya Uchina na Afrika Wed, 04 Sep 2024
-
234 - Athari za kutokuwa na usawa wa kijinsia kwa soko la ajira Afrika Wed, 28 Aug 2024
-
233 - Tatizo la ajira na changamoto nyingine kwa vijana wa Afrika Mashariki Wed, 21 Aug 2024
-
232 - Ugunduzi wa tekonolojia ya akili mnemba teknolojia nyingine na mchango wake kwa ukuaji wa uchumi Wed, 26 Jun 2024
-
231 - Athari za uchumi na biashara kwenye mji wa Kalemie nchini DRC Wed, 12 Jun 2024
-
230 - Afrika iwe makini inaposhirikiana au kusaidiwa na nchi zilizoendelea Wed, 05 Jun 2024
-
229 - Hofu kwa wafanyabiashara kuhusu muswada wa fedha 2024 nchini Kenya Wed, 29 May 2024