Gurudumu la Uchumi
RFI Kiswahili
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Économie et Entreprise
Écoutez le dernier épisode:
Msikilizaji juma lililopita shirika la kimataifa la kupambana na umasikini, OXFAM nchini Kenya, ilichapisha ripoti inayoonesha kuongezeka kwa pengo la usawa. Kwa mujibu wa shirika hilo, pengo la walionacho na wasio nacho linaendelea kuongezeka ambapo matajiri 125 wa Kenya kwa sasa wana utajiri wa zaidi ya watu milioni 42 raia wa Kenya.
Tunajiuliza, kwa nini ukuaji wa uchumi hauwahusu watu wengi?
Épisodes précédents
-
285 - Ripoti ya Oxfam-Kenya: Uchumi unakua, lakini Wakenya wengi ni masikini, kwa nini? Wed, 03 Dec 2025
-
284 - Mapinduzi ya Elimu Bondo: Jinsi Teknolojia Inavyowawezesha Wasichana Kuandika Kesho Yao Wed, 26 Nov 2025
-
283 - Mandale: Kinywaji Cha Asili Kinachowainua Wanawake wa Goma Wed, 19 Nov 2025
-
282 - Nini hatma ya Afrika baada ya kumalizika kwa mkataba wa kibiashara na Marekani ‘AGOA’ Wed, 01 Oct 2025
-
281 - Vijana na ujasiriamali Afrika Mashariki: Nini kifanyike kuwawezesha? Wed, 24 Sep 2025
-
280 - Mzunguko haramu wa Fedha: Kizuizi kisichoonekana kwa ustawi wa Afrika Wed, 03 Sep 2025
-
279 - Kuwekeza katika Uchumi wa Bluu: Mkakati wa uhakika au Kamari hatari? Wed, 27 Aug 2025
-
278 - Huduma jumuishi za kifedha kidijitali, Afrika iko wapi? Wed, 13 Aug 2025
-
277 - Vijana wamepata elimu lakini hawana ajira: Changamoto ya ujuzi Afrika Mashariki Wed, 06 Aug 2025
-
276 - Bomu linalosubiri kulipuka: Kwanini vijana wa Afrika Mashariki hawana ajira licha ya kuwa na shahada Wed, 30 Jul 2025
-
275 - Sehemu ya II: Mfumo mbovu au mafanikio, matajiri 4 Afrika kumiliki nusu ya mali za raia wa bara hilo Wed, 23 Jul 2025
-
274 - Sehemu ya I: Mfumo mbovu au mafanikio, matajiri 4 Afrika kumiliki nusu ya mali za raia wa bara hilo Wed, 16 Jul 2025
-
273 - Kutoka jembe hadi kutumia ndege nyuki (drone): Mapinduzi ya Kilimo Afrika Mashariki Wed, 09 Jul 2025
-
272 - Nchi zinazoendelea kulemewa na madeni: Je, Dunia itasikia kilio chao? Wed, 02 Jul 2025
-
271 - Utakatishaji Fedha: Kenya yawekwa kwenye orodha ya nchi zilizo na changamoto, Uganda ikiondolewa. Thu, 26 Jun 2025
-
270 - EAC: Vipau mbele vya Bajeti za Afrika Mashariki na maana yake kwa raia Thu, 19 Jun 2025
-
269 - Mabadiliko ya tabia nchi na matumizi ya teknolojia kwenye kilimo Wed, 11 Jun 2025
-
268 - Mfumuko wa bei na mzigo wa madeni Wed, 04 Jun 2025
-
267 - Sehemu ya II: Sehemu ya I: Je, Teknolojia Inaweza Kupunguza changamoto za Biashara barani Afrika? Wed, 28 May 2025
-
266 - Sehemu ya I: Je, Teknolojia Inaweza Kupunguza changamoto za Biashara barani Afrika? Wed, 21 May 2025
-
265 - Kenya: Wanawake Nandi waruka vikwazo kujikwamua kiuchumi Wed, 14 May 2025