Gurudumu la Uchumi
RFI Kiswahili
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Économie et Entreprise
Écoutez le dernier épisode:
Kupitia ripoti iliyozinduliwa juma hili na shirikisho la wazalishaji nchini Kenya, inaonyesha kuwa kusafirisha bidhaa katika njia muhimu za biashara za Afrika bado ni ghali na haitabiriki, ambapo wakati mwingine hugharimu hadi dola 7,000 za Marekani kwa kontena moja kati ya Nairobi na Lusaka. Kwenye Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, tumezungumza na Tobias Alando, mkurugenzi mtendaji wa shirikisho la wamiliki wa viwanda nchini Kenya.
Épisodes précédents
-
295 - Kwa nini vikwazo vya usafirishaji ni kizuizi kikubwa cha biashara Afrika Mashariki Wed, 01 Apr 2026
-
294 - Uwazi kwenye ubinafsishaji wa mashirika ya uma ni muhimu kwa maendeleo Wed, 11 Mar 2026
-
293 - Vita ya Iran: Afrika imejipangaje kukabiliana na athari za kiuchumi Wed, 04 Mar 2026
-
292 - Ushirikishwaji wa wanawake katika sekta za kiuchumi chanzo cha ukuaji wa uchumi Wed, 25 Feb 2026
-
291 - Ushirikiano wa kikanda hatarini: Nakisi ya bajeti yaibua maswali mapya Wed, 18 Feb 2026
-
290 - Dubai: Viongozi wa dunia waangazia mageuzi ya sera, ubunifu na mifumo mipya ya utawala Thu, 05 Feb 2026
-
289 - Ushindani wa mataifa makubwa na mustakabali wa uchumi wa Dunia Wed, 21 Jan 2026
-
288 - Kenya Kuwa Singapore ya Afrika: Ndoto au Uhalisia? Wed, 14 Jan 2026
-
287 - Kutoka Ufugaji wa Mifugo hadi Samaki: Mabadiliko ya Kiuchumi Kajiado Wed, 07 Jan 2026
-
286 - Sherehe za mwisho wa mwaka zisikuache bila pesa, fahamu mbinu za kudhibiti matumizi yako. Wed, 24 Dec 2025
-
285 - Ripoti ya Oxfam-Kenya: Uchumi unakua, lakini Wakenya wengi ni masikini, kwa nini? Wed, 03 Dec 2025
-
284 - Mapinduzi ya Elimu Bondo: Jinsi Teknolojia Inavyowawezesha Wasichana Kuandika Kesho Yao Wed, 26 Nov 2025
-
283 - Mandale: Kinywaji Cha Asili Kinachowainua Wanawake wa Goma Wed, 19 Nov 2025
-
282 - Nini hatma ya Afrika baada ya kumalizika kwa mkataba wa kibiashara na Marekani ‘AGOA’ Wed, 01 Oct 2025
-
281 - Vijana na ujasiriamali Afrika Mashariki: Nini kifanyike kuwawezesha? Wed, 24 Sep 2025
-
280 - Mzunguko haramu wa Fedha: Kizuizi kisichoonekana kwa ustawi wa Afrika Wed, 03 Sep 2025
-
279 - Kuwekeza katika Uchumi wa Bluu: Mkakati wa uhakika au Kamari hatari? Wed, 27 Aug 2025
-
278 - Huduma jumuishi za kifedha kidijitali, Afrika iko wapi? Wed, 13 Aug 2025
-
277 - Vijana wamepata elimu lakini hawana ajira: Changamoto ya ujuzi Afrika Mashariki Wed, 06 Aug 2025