Gurudumu la Uchumi

Gurudumu la Uchumi

RFI Kiswahili

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .

Écoutez le dernier épisode:

Hujambo msikilizaji wa RFI Kiswahili popote pale unapotegea sikio matangazo yetu, makala ni Gurudumu la Uchumi na leo hii tunazungumzia kuhusu athari za kiuchumi kutokana na mizozo kwenye nchi za Afrika.

Tutazungumza na Hamduni Marcel, mchambuzi wa siasa za kimataifa akiwa Tanzania na Ali Mkimo, mchambuzi wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania.

Épisodes précédents

  • 252 - Migogoro inavyotatiza ukuaji wa uchumi, maendeleo na utawala bora Afrika 
    Wed, 12 Feb 2025
  • 251 - Afrika inajifunza nini baada ya Marekani kusitisha kwa muda misaada ya nje. 
    Wed, 05 Feb 2025
  • 250 - Changamoto ya upatikanaji wa nishati ya uhakika barani Afrika 
    Wed, 29 Jan 2025
  • 249 - Wataalamu waonya kuhusu pengo la walionacho na wasionacho 
    Wed, 22 Jan 2025
  • 248 - Nchini Kenya Vijana wa mitaa duni wakumbatia Teknolojia ya biashara ndogo ndogo 
    Wed, 15 Jan 2025
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts économie et entreprise français

Plus de podcasts économie et entreprise internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast