Jua Haki Zako

Jua Haki Zako

RFI Kiswahili

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Gouvernement et ONG

Écoutez le dernier épisode:

Shirika lisilo la kiserikali la kutetea haki za binadamu la African Futures Lab, lenye makao yake jijini Brussels nchini Ubelgiji, lilizindua ripoti kushinikiza watoto chotara na mama zao kutoka nchini DRC, Rwanda na Burundi, kulipwa fidia, kutambuliwa kuwa raia wa Ubelgiji na kupata haki nyingine za msingi.

Wakati wa ukoloni wa nchi ya Ubelgiji kwa nchi hizo za maziwa makuu, wakoloni, wanaume wazungu kutoka nchini Ubelgiji, waliwachukua kwa nguvu wanawake kutoka DRC, Rwanda na Burundi na kuwapeleka Ubelgiji na kuwazalisha, huku wengine wakifanyiwa hivyo wakiwa kwenye nchi zao.

Makala haya yameandiliwa na Benson Wakoli

Soma piaHaki ya mtoto kupata elimu ( Fizi)

Épisodes précédents

  • 265 - Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua 
    Wed, 17 Apr 2024
  • 264 - Madaktari nchini Kenya wagoma kuishinikiza serikali kuzingatia haki zao 
    Tue, 16 Apr 2024
  • 263 - DRC : Jamii ya mbilikimo yalilia serikali kuwapa nafasi kuhudumu serikalini 
    Wed, 10 Apr 2024
  • 262 - Haki za raia wa mataifa ya Afrika wanaofanya kazi katika mataifa ya ughaibuni. 
    Thu, 04 Apr 2024
  • 261 - Kenya : Dhuluma za kijinsia na mrundiko wa kesi mahakamani 
    Tue, 19 Mar 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts gouvernement et ong français

Plus de podcasts gouvernement et ong internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast