Jua Haki Zako
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Gouvernement et ONG
Écoutez le dernier épisode:
Siku ya Mtoto wa Kike Duniani, inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 11 Oktoba, ni fursa ya kuangazia changamoto zinazokabili watoto wa kike duniani na kukuza usawa wa kijinsia.
Katika mwaka 2024, mada ilikuwa "Kutoa sauti kwa watoto wa kike: Fursa na Changamoto katika Utu wa Kike."
Makala haya yataangazia kwa kina haki za mtoto wa kike na hatua zilizopigwa katika kusababisha mtoto wa kike kuskizwa na hata hatua zilizochukuliwa ili kuboresha elimu, afya, na usalama wa watoto wa kike, pamoja na jinsi jamii zinaweza kushiriki katika kuwasaidia kufikia ndoto zao.
Aidha, itajadili umuhimu wa ushirikiano kati ya serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali, na wazazi katika kufanikisha malengo haya.
Épisodes précédents
-
288 - Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani Fri, 18 Oct 2024
-
287 - MAMILLIONI YA WATU HASA WATOTO BARANI AFRIKA HAWAJAPATA HAKI ZA CHAKULA Wed, 16 Oct 2024
-
286 - DRC : Wanawake wabakwa katika gereza la Makala nchini Thu, 19 Sep 2024
-
285 - Kenya : Watoto wateketea shuleni, je jukumu la nani kumlinda mtoto akiwa shuleni Mon, 16 Sep 2024
-
284 - Kenya: Vikundi vya kina mama vyajitokeza kupinga ukeketaji Tue, 27 Aug 2024
-
283 - Kenya : Jamii za mipakani zataka serikali kuwapa vitambulisho Sat, 24 Aug 2024
-
282 - Kenya : Mawikili watoa mafunzo ya sheria kwa vijana Sat, 17 Aug 2024
-
281 - Tanzania : Human Right Watch lasema Tanzania inawahangaisha raia wa Ngorongoro Tue, 06 Aug 2024
-
280 - Kenya : Haki za wanawake pamoja na kina dada wanaojiuza Sat, 03 Aug 2024
-
279 - Kenya : Haki ya wanahabari kuteleza majukumu yao bila vikwazo Sat, 27 Jul 2024
-
278 - Kenya : Polisi wa Uingereza watuhumiwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu Tue, 16 Jul 2024
-
277 - Kenya : Wanaume wanapitia dhuluma za kijinsia kwenye ndoa, ila wamesalia kimya Wed, 10 Jul 2024
-
276 - Sudan Kusini inakabiliwa na hali ya binadamu kutokana na wimbi kubwa la wakimbizi Sat, 06 Jul 2024
-
275 - Kenya : Haki ya raia kuandamana kufikisha ujumbe kwa serikali Tue, 25 Jun 2024
-
274 - Amnesty International : Adabu ya kifo imeongezeka zaidi duniani Tue, 18 Jun 2024
-
273 - Kenya : Haki za watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi wanataka kutambuliwa zaidi Mon, 17 Jun 2024
-
272 - Haki za raia wanaoishi na ulemavu wa ngozi hapa Africa Wed, 12 Jun 2024
-
271 - Tume ya haki za binadamu nchini Uganda yatuhumiwa kuegemea upande wa serikali Fri, 31 May 2024
-
270 - Kenya : Unyanyapaa wanaopitia kina mama tasa kwa jamii Tue, 21 May 2024
-
269 - DRC : Makundi ya waasi yatuhumiwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya raia mbilimo Sat, 18 May 2024
-
268 - Je haki za mtoto wa kiume unazifahamu, na je unafikiri zimekiukwa? Thu, 09 May 2024
-
267 - Kenya : Polisi watuhumiwa kuwaua raia kiholela zaidi ya raia 118 wakiuawa mwaka 2023 Thu, 02 May 2024
-
266 - Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu Thu, 25 Apr 2024
-
265 - Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua Wed, 17 Apr 2024