Jua Haki Zako
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Gouvernement et ONG
Écoutez le dernier épisode:
Shirika lisilo la kiserikali la kutetea haki za binadamu la African Futures Lab, lenye makao yake jijini Brussels nchini Ubelgiji, lilizindua ripoti kushinikiza watoto chotara na mama zao kutoka nchini DRC, Rwanda na Burundi, kulipwa fidia, kutambuliwa kuwa raia wa Ubelgiji na kupata haki nyingine za msingi.
Wakati wa ukoloni wa nchi ya Ubelgiji kwa nchi hizo za maziwa makuu, wakoloni, wanaume wazungu kutoka nchini Ubelgiji, waliwachukua kwa nguvu wanawake kutoka DRC, Rwanda na Burundi na kuwapeleka Ubelgiji na kuwazalisha, huku wengine wakifanyiwa hivyo wakiwa kwenye nchi zao.
Makala haya yameandiliwa na Benson Wakoli
Soma piaHaki ya mtoto kupata elimu ( Fizi)
Épisodes précédents
-
265 - Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua Wed, 17 Apr 2024
-
264 - Madaktari nchini Kenya wagoma kuishinikiza serikali kuzingatia haki zao Tue, 16 Apr 2024
-
263 - DRC : Jamii ya mbilikimo yalilia serikali kuwapa nafasi kuhudumu serikalini Wed, 10 Apr 2024
-
262 - Haki za raia wa mataifa ya Afrika wanaofanya kazi katika mataifa ya ughaibuni. Thu, 04 Apr 2024
-
261 - Kenya : Dhuluma za kijinsia na mrundiko wa kesi mahakamani Tue, 19 Mar 2024
-
260 - DRC: Waasi wa CODECO wadaiwa kutekeleza mauwaji ya kikabila Fri, 15 Mar 2024
-
259 - Kenya: siku ya wanawake duniani nini Kipya? Fri, 08 Mar 2024
-
258 - Kenya : Wasanii walilia haki yao Sat, 02 Mar 2024
-
257 - Haki ya kutali Africa bila vikwazo Wed, 21 Feb 2024
-
256 - Valentine : Haki ya wanaume na wanawake Sat, 17 Feb 2024
-
255 - Kenya : Viongozi wa dini wapinga ushoga Fri, 09 Feb 2024
-
254 - DRC : Je haki za raia zilikiukwa kipindi cha uchaguzi? Sat, 03 Feb 2024
-
253 - Haki ya mtoto kupata elimu ( Fizi) Fri, 26 Jan 2024
-
252 - Human watch yatahumu jamii ya kimataifa kwa kukosa kusadia Sudan Sun, 21 Jan 2024
-
251 - Hali ya haki za binadamu nchini Kenya na Tanzania Tue, 09 Jan 2024
-
250 - Mashirika ya misaada ya kibinadamu yakumbwa na uhaba wa fedha Tue, 19 Dec 2023
-
249 - Ipo siku watu wanaoishi na walemavu watapata nafasi sawa katika jamii Mon, 11 Dec 2023
-
248 - Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kushinikiza serikali kutekeleza maamuzi ya mahakama Mon, 04 Dec 2023
-
247 - Siku 16 za mapambano dhidi ya ukatili wa wanawake Fri, 01 Dec 2023
-
246 - Manufaa ya mitandao, mwandishi Paul Braine anasimulia Tue, 28 Nov 2023
-
245 - Haki ya watoto kipindi hiki cha kidigiti Tue, 07 Nov 2023
-
244 - Kenya : Serikali yaendesha bomoabomoa kwenye ardhi inayodai kuwa yake Fri, 27 Oct 2023
-
243 - DRC : Haki za raia kuelekea uchaguzi mkuu Mon, 23 Oct 2023
-
242 - Sudan Kusini : Serikali inaminya uhuru wa kujieleza wa wanahabari Tue, 10 Oct 2023