Jua Haki Zako

Jua Haki Zako

RFI Kiswahili

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Gouvernement et ONG

Écoutez le dernier épisode:

Kadri Afrika inavyozidi kuingia katika ulimwengu wa  kidijitali, kila siku mamilioni ya watu wanaingia mitandaoni—kutafuta taarifa, kuwasiliana, kufanya biashara na hata kushiriki mijadala ya kisiasa.

Lakini swali kuu ni Je, watu wote wanaelewa haki zao katika mazingira haya mapya ya kidijitali?

 

Skiza makala haya kufahamu mengi.

Épisodes précédents

  • 319 - Kenya: Haki ya matumizi ya vyombo vya dijitali 
    Tue, 10 Jun 2025
  • 318 - Kenya : Haki ya wanaume na wanawake 
    Tue, 03 Jun 2025
  • 317 - Kenya : Harakati za kutetea jinsia 
    Sat, 31 May 2025
  • 316 - Amnesty International : Saudi Arabia inawanyanyasa wafanyakazi wa nyumbani 
    Fri, 23 May 2025
  • 315 - Kenya : Demokrasia inavyotafsiriwa Africa 
    Sun, 18 May 2025
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts gouvernement et ong français

Plus de podcasts gouvernement et ong internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast