Jua Haki Zako

Jua Haki Zako

RFI Kiswahili

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Gouvernement et ONG

Écoutez le dernier épisode:

Siku ya Mtoto wa Kike Duniani, inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 11 Oktoba, ni fursa ya kuangazia changamoto zinazokabili watoto wa kike duniani na kukuza usawa wa kijinsia.

Katika mwaka 2024, mada ilikuwa "Kutoa sauti kwa watoto wa kike: Fursa na Changamoto katika Utu wa Kike."

Makala haya yataangazia kwa kina haki za mtoto wa kike na hatua zilizopigwa katika kusababisha mtoto wa kike kuskizwa na hata hatua zilizochukuliwa ili kuboresha elimu, afya, na usalama wa watoto wa kike, pamoja na jinsi jamii zinaweza kushiriki katika kuwasaidia kufikia ndoto zao.

Aidha, itajadili umuhimu wa ushirikiano kati ya serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali, na wazazi katika kufanikisha malengo haya.

Épisodes précédents

  • 288 - Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani 
    Fri, 18 Oct 2024
  • 287 - MAMILLIONI YA WATU HASA WATOTO BARANI AFRIKA HAWAJAPATA HAKI ZA CHAKULA 
    Wed, 16 Oct 2024
  • 286 - DRC : Wanawake wabakwa katika gereza la Makala nchini 
    Thu, 19 Sep 2024
  • 285 - Kenya : Watoto wateketea shuleni, je jukumu la nani kumlinda mtoto akiwa shuleni 
    Mon, 16 Sep 2024
  • 284 - Kenya: Vikundi vya kina mama vyajitokeza kupinga ukeketaji 
    Tue, 27 Aug 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts gouvernement et ong français

Plus de podcasts gouvernement et ong internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast