Jua Haki Zako
RFI Kiswahili
Radios: RFI Kiswahili
Catégories: Gouvernement et ONG
Ajouter à ma liste
Écoutez le dernier épisode:
Katika nchi nyingi barani Afrika, adhabu ya kifo inasalia kuwa suala tata, ikiwa imejikita katika mifumo ya kisheria na kijamii. Licha ya mjadala kuhusu ufanisi na maadili yake kuendelea, wanaharakati wa haki za binadamu wanajitahidi kuhakikisha kufutwa kwa adhabu hiyo, wakisisitiza haki ya msingi ya kuishi. Ulaya tayari imeondoa adhabu ya kifo, ikitoa mfano wa mfumo wa haki unaolenga marekebisho badala ya adhabu kali.Kwenye makala haya tumeangazia juhudi hizo kuondoa adhabu hiyo .
Épisodes précédents
-
300 - Juhudi zilizopo kuondoa hukumu ya kifo kwenye nchi barani Afrika Tue, 21 Jan 2025
-
299 - Kenya: Uhuru wa kutumia mitandao ya kijamii na mipaka yake Thu, 09 Jan 2025
-
298 - Dunia:Haki za wanawake na Ukomeshaji wa visa vya mauaji Mon, 30 Dec 2024
-
297 - Kenya : Akili dada na Juhudi zake za kuinua maisha ya mtoto wa kike Wed, 18 Dec 2024
-
296 - Kenya : Akila Dada mstari wa mbele kutetea haki za mtoto wa kike Tue, 17 Dec 2024
-
295 - DRC : Mchango wa AU kumaliza mizozo Africa Mon, 16 Dec 2024
-
294 - Kenya :Madaktari watishia kugoma tena tarehe 22 Disemba Mon, 09 Dec 2024
-
293 - DRC : Haki ya mtoto kupata elimu na vizingiti vinavyochangia Tue, 12 Nov 2024
-
292 - DRC : Haki ya wanawake kupata elimu Tue, 05 Nov 2024
-
291 - Kenya : Wanawake 97 wauawa kwa kipindi cha miezi tatu Tue, 05 Nov 2024
-
290 - Kenya : Visa vya raia kutekwa yaongezeka Fri, 25 Oct 2024
-
289 - Hatua zilizopigwa katika kumuinua mtoto wa kike Thu, 24 Oct 2024
-
288 - Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani Fri, 18 Oct 2024
-
287 - MAMILLIONI YA WATU HASA WATOTO BARANI AFRIKA HAWAJAPATA HAKI ZA CHAKULA Wed, 16 Oct 2024
-
286 - DRC : Wanawake wabakwa katika gereza la Makala nchini Thu, 19 Sep 2024
-
285 - Kenya : Watoto wateketea shuleni, je jukumu la nani kumlinda mtoto akiwa shuleni Mon, 16 Sep 2024
-
284 - Kenya: Vikundi vya kina mama vyajitokeza kupinga ukeketaji Tue, 27 Aug 2024
-
283 - Kenya : Jamii za mipakani zataka serikali kuwapa vitambulisho Sat, 24 Aug 2024
-
282 - Kenya : Mawikili watoa mafunzo ya sheria kwa vijana Sat, 17 Aug 2024
-
281 - Tanzania : Human Right Watch lasema Tanzania inawahangaisha raia wa Ngorongoro Tue, 06 Aug 2024
-
280 - Kenya : Haki za wanawake pamoja na kina dada wanaojiuza Sat, 03 Aug 2024
-
279 - Kenya : Haki ya wanahabari kuteleza majukumu yao bila vikwazo Sat, 27 Jul 2024
-
278 - Kenya : Polisi wa Uingereza watuhumiwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu Tue, 16 Jul 2024
-
277 - Kenya : Wanaume wanapitia dhuluma za kijinsia kwenye ndoa, ila wamesalia kimya Wed, 10 Jul 2024
Afficher plus d'épisodes
5