Jua Haki Zako

Jua Haki Zako

RFI Kiswahili

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Radios: RFI Kiswahili

Catégories: Gouvernement et ONG

Écoutez le dernier épisode:

Katika nchi nyingi barani Afrika, adhabu ya kifo inasalia kuwa suala tata, ikiwa imejikita katika mifumo ya kisheria na kijamii. Licha ya mjadala kuhusu ufanisi na maadili yake kuendelea, wanaharakati wa haki za binadamu wanajitahidi kuhakikisha kufutwa kwa adhabu hiyo, wakisisitiza haki ya msingi ya kuishi. Ulaya tayari imeondoa adhabu ya kifo, ikitoa mfano wa mfumo wa haki unaolenga marekebisho badala ya adhabu kali.Kwenye makala haya tumeangazia juhudi hizo kuondoa adhabu hiyo .

Épisodes précédents

  • 300 - Juhudi zilizopo kuondoa hukumu ya kifo kwenye nchi barani Afrika 
    Tue, 21 Jan 2025
  • 299 - Kenya: Uhuru wa kutumia mitandao ya kijamii na mipaka yake 
    Thu, 09 Jan 2025
  • 298 - Dunia:Haki za wanawake na Ukomeshaji wa visa vya mauaji 
    Mon, 30 Dec 2024
  • 297 - Kenya : Akili dada na Juhudi zake za kuinua maisha ya mtoto wa kike 
    Wed, 18 Dec 2024
  • 296 - Kenya : Akila Dada mstari wa mbele kutetea haki za mtoto wa kike 
    Tue, 17 Dec 2024
Afficher plus d'épisodes

Plus de podcasts gouvernement et ong français

Plus de podcasts gouvernement et ong internationaux

Autres podcasts de RFI Kiswahili

Choisissez le genre de podcast