The New Life Mission|8 - 1. Maana ya Injili halisi ya Kuzaliwa Upya tena (Yohana 3:1-6)
Nahakika uhasili ndiyo unao amua thamani ya msingi katika vitabu ambavyo si vya hadithi za kufikirika. Hivyo basi vitabu vyetu vyote ni vya asili. Ni vitabu vya kwanza katika kipindi chetu kuweza kuweka bayana juu ya ubatizo wa Yesu kwa Yohana Mbatizaji. Hapo awali hapakuwepo na sikukuu ya Krismasi takriban karne mbili zilizo pita wakati wa Kanisa la mwanzo. Wakristo wa Kanisa la mwanzo pamoja na Mitume wa Yesu waliweza kuadhimisha siku ya Januari 6 kuwa ni siku ya Kubatizwa kwa Yesu katika mto Yordani na Yohana Mbatizaji. Kwanini wali weka msisitizo mkubwa juu ya ubatizo wa Yesu katika imani zao? Vitabu vyetu vinatoa jibu sahihi kwa swali hili. Na jibu lake ndiyo ufunguo halisi katika Ukristo wa Utume wa Hasili. Wazo kuu la vichwa vya habari ni kuingia kwa undani katika siri ya Ubatizo wa Yesu na injili ya maji na Roho. (Yohana 3:5). Si swala la upande mmoja katika Ukristo bali ni kiini kinacho wahusu Wakristo wote. Vichwa vyetu vya habari ni asilimia mia moja (100%) kibiblia na kiuhakika, hivyo kuhamasisha Wakristo wa kawaida kuelekea katika mwamko wa injili ya maji na Roho. Ujumbe wa kitabu hiki utakuwa ni chombo cha masahihisha kwa wale wote wanao tafuta ukweli wa Biblia.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
00:00
00:00
Aucune description d'épisode disponible.
Publié13 janv. 2023
Durée1:30:57
Épisodes
8-
1. Maana ya Injili halisi ya Kuzaliwa Upya tena (Yohana 3:1-6)
Écouté
13 janv. 2023
7-
2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14)
Écouté
13 janv. 2023
6-
3. Tohara ya Kweli ya Kiroho (Kutoka 12:43-49)
Écouté
13 janv. 2023
5-
4. Ni Namna Ipi Ya Kufanya Toba Ya Kweli Na Sahihi Kwa Dhambi (1 Yohana 1:9)
Écouté
13 janv. 2023
4-
5. Upotoshaji Uliopo Kwenye Kanuni ya Kujulikana na Kuchaguliwa Tangu Asili (Warumi 8:28-30)
Écouté
13 janv. 2023
3-
6. Ukuhani Uliobadilika (Waebrania 7:1-28)
Écouté
13 janv. 2023
2-
7. Ubatizo wa Yesu ni Mojawapo ya Hatua ya Ukombozi Isiyopaswa Kuwekwa Kando (Mathayo 3:13-17)
Écouté
13 janv. 2023
1-
8. Hebu na Tutende Mapenzi ya Baba Kwa Imani (Mathayo 7:21-23)